Ushirika wa marafiki wa Ifakara
Msaada kwa Tanzania - kampeini ya Tirol katikati ya Africa
Ushirika wa marafiki wa Ifakara unaona una wajibu wa kufadhili Hospitali ya Mt.Fransisko na Parokia ya Mt. Andrea Ifakara / Tanzania.
Anuani yetu ya barua pepe:
Taarifa mpya
![]() | Julai 2008 Aliyekuwa mkurugenzi wa redio na luninga (ORF) Tirol ambaye kwa sasa ni mjumbe wa UNICEF anayeshughulika na kitengo cha ukimwi, Prof. Dr. Rudolf Nagiller, anakuja Ifakara. |
![]() | Novemba 2007 Zoezi la chukula cha hisani huko Landeck limelete tena mafanikio makubwa. |
![]() | Mei - Julai 2007 - Vifaa vya uchunguzi wa X-ray, Vitanda, na kifaa cha upimaji wa moyo Mwaka 2007 majira ya kiangazi lilitumwa kwa mara nyingine tena kontena lenye vifaa mbalimbali kwa ajili ya hospitali ya Mt.Fransisko Ifakara. |
![]() | Mei 2007 - Safari kwenda Tanzania Kikundi cha madaktari kikiongozwa na Dr. Hasenöhrl kilitoa huduma ya upasuaji katika hospitali ya Mt. Fransisko. |





