Ushirika wa marafiki wa Ifakara

Msaada kwa Tanzania - kampeini ya Tirol katikati ya Africa

Ushirika wa marafiki wa Ifakara unaona una wajibu wa kufadhili Hospitali ya Mt.Fransisko na Parokia ya Mt. Andrea Ifakara / Tanzania.



Anuani yetu ya barua pepe:

info@ifakara.org

Taarifa mpya

Julai 2008
Aliyekuwa mkurugenzi wa redio na luninga (ORF) Tirol ambaye kwa sasa ni mjumbe wa UNICEF anayeshughulika na kitengo cha ukimwi, Prof. Dr. Rudolf Nagiller, anakuja Ifakara.
Novemba 2007
Zoezi la chukula cha hisani huko Landeck limelete tena mafanikio makubwa.
Mei - Julai 2007 - Vifaa vya uchunguzi wa X-ray, Vitanda, na kifaa cha upimaji wa moyo
Mwaka 2007 majira ya kiangazi lilitumwa kwa mara nyingine tena kontena lenye vifaa mbalimbali kwa ajili ya hospitali ya Mt.Fransisko Ifakara.
Mei 2007 - Safari kwenda Tanzania
Kikundi cha madaktari kikiongozwa na Dr. Hasenöhrl kilitoa huduma ya upasuaji katika hospitali ya Mt. Fransisko.